الخميس، 2 أبريل 2020

🌿 KUDHIHIRI MATENDO YA UZINIFU NI MOJA YA SABABU KUBWA YA KUENEA MARADHI YA CORONA 🌿

🌿 KUDHIHIRI MATENDO YA UZINIFU NI MOJA YA SABABU KUBWA YA KUENEA MARADHI YA CORONA 🌿
 Imesimuliwa na Ibn Omar Radhiyallahu 'anhu akisema :
" Alikabiliana na sisi Mtume wa Allah Swallallahu 'alayhi wa sallam akasema :
" Enyi kundi la Muhaajiriina ! Mambo matano mkitahiniwa nayo na najikinga kwa Allah mkija kuyadiriki .
Hakutadhihiri Uchafu wa Zinaa kwa Watu katu (n'go) mpaka wakawa wanaitangaza isipokuwa kutaenea ndani yao Maradhi ya kuambukiza (Twaa'uun) na Maradhi ambayo hayajawafikia Waliowatangulia . . ." (kama Corona)
( Imepokewa na Ibn Maajah Na. 4019 ) na Amesahihisha Al-Albaaniy katika Silsilatu Asswahiyhah Juz . 1 Uk .167 )
 عن ‏‏عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عُمَرَ ‏ ‏قَالَ:
" أَقْبَلَ عَلَيْنَا رَسُولُ اللَّهِ ‏صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ‏ ‏فَقَالَ:
" يَامَعْشَرَ ‏الْمُهَاجِرِينَ خَمْسٌ إِذَا ابْتُلِيتُمْ بِهِنَّ وَأَعُوذُ بِاللَّهِ أَنْ تُدْرِكُوهُنَّ لَمْ تَظْهَرْ الْفَاحِشَةُ فِي قَوْمٍ قَطُّ حَتَّى يُعْلِنُوا بِهَا إِلا فَشَا فِيهِمْ الطَّاعُونُ وَالأَوْجَاعُ الَّتِي لَمْ تَكُنْ مَضَتْ فِي أَسْلافِهِمْ الَّذِينَ مَضَوْا . . ."
(( رواه ابت ماحه رقم 4019 ) و صححه الألباني في السلسلة الصحيحة ج 1 ص 167 )
💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦

ليست هناك تعليقات:

إرسال تعليق